DAVIDO ATOA MPYA KWA VIMBELE MBELE WA TANZANIA WANAOMPIGIA KURA MTV AWARDS, AWAOMBA WAMPIGIE DIAMOND PLATNUMZ.. YEYE HANA SHIDA NA KURA ZA TANZANIA

Hii kali soma ka screenshot chini....

Imeandika "Tanzania Thanx 4 voting but i don want distabance in my acc plz vote Diamond not me Plz"


Davido msanii wa Nigeria, baada ya kuchoshwa na kufatiliwa na Tanzanians ambao hawataki mTanzania mwenzetu Diamond Platnumz ashinde kura kisa kumsaidia wema anayelilia maoenzi na kiba anayetaka kupaa.

Watanzania hawa wamefikia kutia aibu nchi yetu kwa kuandika maneno ya ajabu na hata kutukanana humo humo. Wanamuomba pia mengi wakijua ni single man...aibuuuuuuuu

Amewajibu na kwa mie hata sishangai alichoandika, watu wanadhani wananchi wa nchi zingine ni wajinga kama wao.

wdcfawqafwef