STAA WA FILAMU BONGO, JACKLINE WOLPER. AZUA KIZAAZAA FREEMASON

Staa wa filamu Bongo, Jackline Wolper.

KATIKA toleo lililopita la gazeti hili, ukurasa wake wa pili kulikuwa na habari yenye kichwa; Wolper: Mimi ni Freemason kwa muda mrefu sasa.

Sasa, baada ya habari ile kutoka, kuna madai kwamba, wenyewe Freemason wameingiwa na wasiwasi juu ya kauli ile lakini chanzo kikitoa kauli mbili tofauti.

Chanzo chetu kililiambia gazeti hili kuwa, baadhi ya wanachama wa taasisi hiyo wameshtushwa na maneno ya Wolper kama yana ukweli wowote.

“Yaani kule Freemason, baachi ya wanachama wanasema Wolper alikurupuka kusema vile. Lakini hawajasem alikurupuka kwa sababu si Freemason au hakutakiwa kukiri,” kilisema chanzo.

Jumatatu iliyopita, Amani lilimpigia simu mwanachama mmoja wa taasisi hiyo ambaye yupo ngazi ya uongozi na kuzungumza naye kuhusu Wolper lakini alikata simu bila kutoa majibu.

Wolper mwenyewe alipotafutwa kwa simu na kuulizwa kama anajua ameibua kizaazaa hicho, alijibu ndivyo sivyo:

“Mimi niko mbali na mji jamani. Nina mishemishe f’lani hivi. Unajua nataka kutoa filamu. Nitakuja siku moja hapo Global kuomba udhamini wa filamu hiyo.”



Sasa, baada ya habari ile kutoka, kuna madai kwamba, wenyewe Freemason wameingiwa na wasiwasi juu ya kauli ile lakini chanzo kikitoa kauli mbili tofauti.

Chanzo chetu kililiambia gazeti hili kuwa, baadhi ya wanachama wa taasisi hiyo wameshtushwa na maneno ya Wolper kama yana ukweli wowote.

“Yaani kule Freemason, baachi ya wanachama wanasema Wolper alikurupuka kusema vile. Lakini hawajasem alikurupuka kwa sababu si Freemason au hakutakiwa kukiri,” kilisema chanzo.

Jumatatu iliyopita, Amani lilimpigia simu mwanachama mmoja wa taasisi hiyo ambaye yupo ngazi ya uongozi na kuzungumza naye kuhusu Wolper lakini alikata simu bila kutoa majibu.

Wolper mwenyewe alipotafutwa kwa simu na kuulizwa kama anajua ameibua kizaazaa hicho, alijibu ndivyo sivyo:
“Mimi niko mbali na mji jamani. Nina mishemishe f’lani hivi. Unajua nataka kutoa filamu. Nitakuja siku moja hapo Global kuomba udhamini wa filamu hiyo.”

wdcfawqafwef