Mzee Ojwang Afariki Dunia



Mzee Ojwang Afariki Dunia

MWIGIZAJI nguli raia wa Kenya, Benson Wanjau ‘Mzee Ojwang’ amefariki dunia jana jioni akiwa Hospitali ya Taifa ya Kenyatta, alipokuwa amelazwa akisumbuliwa na ugonjwa wa homa ya mapafu (Pneumonia).
Mzee Ojwang atakumbukwa katika Vipindi vya Televisheni kama Vitimbi, Vioja Mahakami, Vituko na Kinyonga.
Amefariki akiwa na umri wa miaka 78.

wdcfawqafwef