Saturday, 21 November 2015 NEWS Bomoabomoa yasababisha simanzi Dar es Salaam Image caption Waathiriwa wanasema hawakupewa taarifa kuwataka waondoke Serikali Tanzania imeanza kubomoa nyumba zote zilizojengwa kinyume ...
15:08 NEWS Magufuli ni kazi tu RAIS John Magufuli ameeleza muongozo wa Serikali ya Awamu ya Tano, huku akisema amejipa kazi ya kutumbua jibu, ambalo anajua kuwa utu...
14:21 NEWS Majaliwa ataka wabunge wasitafute mchawi WAZIRI Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa, amesema uchaguzi umekwisha na kuwataka wabunge waende wakashirikiane na wananchi kufanya kaz...
Thursday, 19 November 2015 NEWS Watoto wawili wafariki baada ya kuangukiwa na nyumba Watoto wawili wa familia moja wamefariki dunia mkoani Singida baada ya kuangukiwa na nyumba ya udongo maarufu kama tembe walimokuwa wam...
Wednesday, 22 July 2015 NEWS UWOYA NAYE ACHUKUA FOM Haya kamanda UWOYA anaonekana akichukua fomu ya kuwania viti maalum vya ubunge huko tabora kwa tiketi ya CCM , twakutakia ma...
01:54 NEWS Lulu:Mini ni Demu Feki na Tapeli Staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amedai kwamba yeye ni ‘demu feki’ tena mwenye tabia za kitapeli huku kauli yake hiy...
01:43 NEWS HUU NDIO UKWELI WA SHILOLE NA MZIWANDA,,,YAANI KUMBE KULIKUWA NA MAMBO YA NDANI,, Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amedai kuwa wivu ndiyo uliosababisha yeye na mchumba wake Nuh Mziwanda kua...
Sunday, 19 July 2015 NEWS PITIA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI JULAI 19,2015, KWA HABARI ZOTE ZA UDAKU, MICHEZO NA HARD NEWS Pitia hapa headline mpya kwenye magazeti mbalimbali ya Udaku, Michezo na Hardnews. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye ...